1 Chronicles 1:13 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wana wa Kanaani walikuwa Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na Kanaani akamzaa Sidoni, mwanawe wa kwanza, na Hethi;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wana wa Kanaani walikuwa Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na Kanaani akamzaa Sidoni, mwanawe wa kwanza, na Hethi;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wana wa Kanaani walikuwa Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye Kanaani akamzaa Sidoni, mwanawe wa kwanza, na Hiti;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na Kanaani akamzaa Sidoni, mwanawe wa kwanza, na Hethi;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wana wa Kanana walikuwa: Sidoni, muzaliwa wake wa kwanza, na Heti.