1 Chronicles 1:44 — Compare Translations
10 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra alitawala badala yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Bela akafa, naye Yobabu, mwana wa Zera, wa Bosra, akamiliki badala yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra alitawala badala yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akaingia mahali pake kuwa mfalme.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Bela akafa, naye Yobabu, mwana wa Zera, wa Bosra, akatawala badala yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra alitawala badala yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Bela alipokufa, Yobabu, mwana wa Zera aliyetoka Bosira, akawa mfalme mahali pake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Bela akafa, naye Yobabu, mwana wa Zera, wa Bosra, akamiliki badala yake.