1 Chronicles 1:9 — Compare Translations

10 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wana wa Kushi walikuwa Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa Sheba na Dedani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na wana wa Kushi; Seba, na Havila, na Sabta, na Raama, na Sabteka. Na wana wa Raama; Sheba, na Dedani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wana wa Kushi walikuwa Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa Sheba na Dedani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na wana wa Kushi; Seba, na Havila, na Sabta, na Raama, na Sabteka. Na wana wa Raama; Sheba, na Dedani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wana wa Kushi walikuwa Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa Sheba na Dedani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao wana wa Kusi: Seba na Hawila na Sabuta na Rama na Sabuteka. Nao wana wa Rama: Saba na Dedani.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na wana wa Kushi; Seba, na Havila, na Sabta, na Raama, na Sabteka. Na wana wa Raama; Sheba, na Dedani.