1 Chronicles 14:9 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wafilisti walifika wakaanza mashambulizi katika bonde la Refaimu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Basi Wafilisti walikuwa wameingia na kushambulia Bonde la Warefai,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi hao Wafilisti walikuwa wamekuja na kuteka nyara katika bonde la Warefai.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wafilisti walifika wakaanza mashambulizi katika bonde la Refaimu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Basi Wafilisti walikuwa wameingia na kushambulia Bonde la Warefai,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Basi Wafilisti walikuwa wameingia na kushambulia Bonde la Warefai,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi hao Wafilisti walikuwa wamekuja na kujitawanya katika bonde la Warefai.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wafilisti walifika wakaanza mashambulizi katika bonde la Refaimu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wafilisti wakaja, wakajieneza Bondeni kwa Majitu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi hao Wafilisti walikuwa wamekuja na kuteka nyara katika bonde la Warefai.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wafilistini wakafika wakaanza mashambulizi katika bonde la Refaimu.