1 Chronicles 16:18 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Alisema: “Nitawapeni nchi ya Kanaani, nayo itakuwa mali yenu wenyewe.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Nitakupa wewe nchi ya Kanaani kuwa sehemu utakayoirithi.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akisema, Nitakupa wewe nchi ya Kanaani, Iwe urithi wenu mliopimiwa;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Alisema: “Nitawapeni nchi ya Kanaani, nayo itakuwa mali yenu wenyewe.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Wewe nitakupa nchi ya Kanaani kuwa sehemu utakayoirithi.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Nitakupa wewe nchi ya Kanaani kuwa sehemu utakayoirithi.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akisema, Nitakupa wewe nchi ya Kanaani, Iwe urithi wenu mliopimiwa;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Alisema: “Nitawapeni nchi ya Kanaani, nayo itakuwa mali yenu wenyewe.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
kwamba: Wewe ndiwe, nitakayekupa nchi ya Kanaani. iwe fungu lenu, nililowapimia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akisema, Nitakupa wewe nchi ya Kanaani, Iwe urithi wenu mliopimiwa;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Alisema: “Nitawapa inchi ya Kanana, nayo itakuwa mali yenu wenyewe.”