1 Chronicles 19:8 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Naye Daudi aliposikia habari hizo alimtuma Yoabu na jeshi lote la mashujaa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Daudi aliposikia jambo hili, akamtuma Yoabu na jeshi lote la wapiganaji.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi Daudi aliposikia habari akamtuma Yoabu, na jeshi lote la mashujaa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Naye Daudi aliposikia habari hizo alimtuma Yoabu na jeshi lote la mashujaa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Daudi aliposikia juu ya haya, akamtuma Yoabu na jeshi lote la wapiganaji.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Daudi aliposikia jambo hili, akamtuma Yoabu na jeshi lote la wapiganaji.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi Daudi aliposikia habari akamtuma Yoabu, na jeshi lote la mashujaa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Naye Daudi aliposikia habari hizo alimtuma Yoabu na jeshi lote la mashujaa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Dawidi alipoyasikia, akamtuma Yoabu na vikosi vyote vya mafundi wa vita.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi Daudi aliposikia habari akamtuma Yoabu, na jeshi lote la mashujaa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Naye Daudi aliposikia habari hizo akatuma Yoabu na kundi lote la waaskari mashujaa.