1 Chronicles 2:35 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hivyo, Sheshani akamwoza Yarha mtumwa wake, mmoja wa binti zake, naye akamzalia mwana jina lake Atai.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Sheshani akamwoza huyu mtumishi wake Yarha binti yake, akamzalia mwana jina lake Atai.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi akamwoza binti yake aolewe na Yarha, mtumwa wake; naye akamzalia Atai.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hivyo, Sheshani akamwoza Yarha mtumwa wake, mmoja wa binti zake, naye akamzalia mwana jina lake Atai.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Sheshani akamwoza huyu mtumishi wake Yarha binti yake, akamzalia mwana jina lake Atai.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Sheshani akamwoza huyu mtumishi wake Yarha binti yake, akamzalia mwana jina lake Atai.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi akamwoza binti yake aolewe na Yarha, mtumwa wake; naye akamzalia Atai.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hivyo, Sheshani akamwoza Yarha mtumwa wake, mmoja wa binti zake, naye akamzalia mwana jina lake Atai.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Sesani akamwoza huyo mtumwa wake Yariha mwanawe wa kike, akamzalia Atai.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi akamwoza binti yake aolewe na Yarha, mtumwa wake; naye akamzalia Atai.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hivyo, Sesani akamupa Yara mutumwa wake, mumoja kati ya wabinti zake kuwa muke wake, naye akamuzalia mwana jina lake Atai.