1 Chronicles 2:4 — Compare Translations
10 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Na Tamari, mkwewe, alimzalia wana wawili: Peresi na Zera. Jumla, wana wa Yuda walikuwa watano.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Tamari, mkwewe Yuda, alimzalia wana wawili: Peresi na Zera. Yuda alikuwa na jumla ya wana watano.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na Tamari, mkwewe, akamzalia Peresi, na Zera. Wana wote wa Yuda ni watano.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Na Tamari, mkwewe, alimzalia wana wawili: Peresi na Zera. Jumla, wana wa Yuda walikuwa watano.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Tamari, mkwewe Yuda, alimzalia wana wawili: Peresi na Zera. Yuda alikuwa na jumla ya wana watano.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Tamari, mkwewe Yuda, alimzalia wana wawili: Peresi na Zera. Yuda alikuwa na jumla ya wana watano.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na Tamari, mkwewe, akamzalia Peresi, na Zera. Wana wote wa Yuda ni watano.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Na Tamari, mkwewe, alimzalia wana wawili: Peresi na Zera. Jumla, wana wa Yuda walikuwa watano.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye mkwewe Tamari akamzalia Peresi na Zera. Hivyo wana wote wa Yuda walikuwa watano.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na Tamari, mkwewe, akamzalia Peresi, na Zera. Wana wote wa Yuda ni watano.