1 Chronicles 2:55 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Jamaa zifuatazo za waandishi ziliishi katika mji wa Yabesi: Watirathi, Washimeathi na Wasukathi. Wao ndio Wakeni waliotoka katika uzao wa Hamathi, aliyekuwa babu yao waliokuwa wa ukoo wa Warekabu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
pamoja na koo za waandishi zilizoishi katika mji wa Yabesi: yaani Watirathi, Washimeathi na Wasukathi. Hawa ndio Wakeni waliotokana na Hamathi, baba wa nyumba ya Rekabu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na jamaa za waandishi waliokaa Yabesi; Watirathi, na Washimeathi, na Wasukathi. Hao ndio Wakeni, waliotoka kwake Hamathi, babaye mbari ya Rekabu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Jamaa zifuatazo za waandishi ziliishi katika mji wa Yabesi: Watirathi, Washimeathi na Wasukathi. Wao ndio Wakeni waliotoka katika uzao wa Hamathi, aliyekuwa babu yao waliokuwa wa ukoo wa Warekabu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
pamoja na koo za waandishi zilizoishi katika mji wa Yabesi: yaani Watirathi, Washimeathi na Wasukathi. Hawa ndio Wakeni waliotokana na Hamathi, baba wa nyumba ya Rekabu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
pamoja na koo za waandishi zilizoishi katika mji wa Yabesi: yaani Watirathi, Washimeathi na Wasukathi. Hawa ndio Wakeni waliotokana na Hamathi, baba wa nyumba ya Rekabu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na jamaa za waandishi waliokaa Yabesi; Watirathi, na Washimeathi, na Wasukathi. Hao ndio Wakeni, waliotoka kwake Hamathi, babaye mbari ya Rekabu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Jamaa zifuatazo za waandishi ziliishi katika mji wa Yabesi: Watirathi, Washimeathi na Wasukathi. Wao ndio Wakeni waliotoka katika uzao wa Hamathi, aliyekuwa babu yao waliokuwa wa ukoo wa Warekabu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
nazo koo za waandishi waliokaa Yabesi ndio Watirati, Wasimati, Wasukati. Hawa ndio Wakini waliotoka kwa Hamati, baba yao mlango wa Rekabu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na jamaa za waandishi waliokaa Yabesi; Watirathi, na Washimeathi, na Wasukathi. Hao ndio Wakeni, waliotoka kwake Hamathi, babaye mbari ya Rekabu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Watu wa jamaa hizi waliishi katika muji wa Yabesi: Watirati, Wasimeati na Wasukati. Wao ndio Wakeni waliotoka katika uzao wa Hamati, aliyekuwa babu ya waliokuwa wa ukoo wa Warekabu.