1 Chronicles 2:8 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ethani alikuwa na mwana mmoja, jina lake Azaria.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mwana wa Ethani alikuwa: Azariya.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na wana wa Ethani; Azaria.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ethani alikuwa na mwana mmoja, jina lake Azaria.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mwana wa Ethani alikuwa: Azariya.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mwana wa Ethani alikuwa: Azariya.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na wana wa Ethani; Azaria.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ethani alikuwa na mwana mmoja, jina lake Azaria.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao wana wa Etani ni Azaria.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na wana wa Ethani; Azaria.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwana wa Etani alikuwa: Azaria.