1 Chronicles 2:9 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wana wa Hesroni walikuwa Yerameeli, Ramu na Kelubai.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wana wa Hesroni walikuwa: Yerameeli, Ramu na Kalebu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena wana wa Hesroni aliozaliwa; Yerameeli, na Ramu, na Kalebu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wana wa Hesroni walikuwa Yerameeli, Ramu na Kelubai.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wana wa Hesroni walikuwa: Yerameeli, Ramu na Kalebu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wana wa Hesroni walikuwa: Yerameeli, Ramu na Kalebu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tena wana wa Hesroni aliozaliwa; Yerameeli, na Ramu, na Kalebu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wana wa Hesroni walikuwa Yerameeli, Ramu na Kelubai.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao wana wa Hesironi, aliozaliwa, ni Yerameli na Ramu na Kelubai.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena wana wa Hesroni aliozaliwa; Yerameeli, na Ramu, na Kalebu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wana wa Hesironi walikuwa: Yerameli, Ramu na Kelubai.