1 Chronicles 23:8 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ladani alikuwa na wana watatu: Yehieli mkuu wao, Zethamu na Yoeli.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wana wa Ladani walikuwa watatu: Yehieli wa kwanza, Zethamu na Yoeli.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wana wa Ladani; Yehieli mkuu wao, na Zethamu, na Yoeli, watu watatu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ladani alikuwa na wana watatu: Yehieli mkuu wao, Zethamu na Yoeli.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wana wa Ladani walikuwa watatu: Yehieli wa kwanza, Zethamu na Yoeli.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wana wa Ladani walikuwa watatu: Yehieli wa kwanza, Zethamu na Yoeli.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wana wa Ladani; Yehieli mkuu wao, na Zethamu, na Yoeli, watu watatu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ladani alikuwa na wana watatu: Yehieli mkuu wao, Zethamu na Yoeli.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wana wa Ladani walikuwa watatu: mkubwa Yehieli, tena Zetamu na Yoeli.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wana wa Ladani; Yehieli mkuu wao, na Zethamu, na Yoeli, watu watatu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wana wa Ladani walikuwa watatu: Yehieli mukubwa wao, Zetamu na Yoeli.