1 Chronicles 24:23 — Compare Translations

10 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wana wa Hebroni walikuwa: Yeria wa kwanza, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, Yakameamu wa nne.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wana wa Hebroni: Yeria alikuwa mkuu, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, na Yekameamu wa nne.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na wana wa Hebroni; Yeria mkuu wao, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, Yekameamu wa nne.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wana wa Hebroni walikuwa: Yeria wa kwanza, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, Yakameamu wa nne.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wana wa Hebroni: Yeria alikuwa mkuu, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, na Yekameamu wa nne.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wana wa Hebroni: Yeria alikuwa mkuu, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, na Yekameamu wa nne.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na wana wa Hebroni; Yeria mkuu wao, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, Yekameamu wa nne.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wana wa Hebroni walikuwa: Yeria wa kwanza, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, Yakameamu wa nne.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao wana wa Heburoni walikuwa Yeria, wa pili Amaria, wa tatu Yahazieli, wa nne Yekamamu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na wana wa Hebroni; Yeria mkuu wao, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, Yekameamu wa nne.