1 Chronicles 26:4 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Pia kulikuwa na Obed-edomu, ambaye Mungu alimbariki kwa kumpa wana wanane: Shemaya mzaliwa wake wa kwanza, Yehozabadi wa pili, Yoa wa tatu, Sakari wa nne, Nethaneli wa tano,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Obed-Edomu naye alikuwa na wana wafuatao: Shemaya mzaliwa wa kwanza, Yehozabadi wa pili, Yoa wa tatu, Sakari wa nne, Nethaneli wa tano,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye Obed-edomu alikuwa na wana; Shemaya mzaliwa wa kwanza, Yehozabadi wa pili, Yoa wa tatu, na Sakari wa nne, na Nethaneli wa tano;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Pia kulikuwa na Obed-edomu, ambaye Mungu alimbariki kwa kumpa wana wanane: Shemaya mzaliwa wake wa kwanza, Yehozabadi wa pili, Yoa wa tatu, Sakari wa nne, Nethaneli wa tano,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Obed-Edomu naye alikuwa na wana wafuatao: Shemaya mzaliwa wa kwanza, Yehozabadi wa pili, Yoa wa tatu, Sakari wa nne, Nethaneli wa tano,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Obed-Edomu naye alikuwa na wana wafuatao: Shemaya mzaliwa wa kwanza, Yehozabadi wa pili, Yoa wa tatu, Sakari wa nne, Nethaneli wa tano,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye Obed-edomu alikuwa na wana; Shemaya mzaliwa wa kwanza, Yehozabadi wa pili, Yoa wa tatu, na Sakari wa nne, na Nethaneli wa tano;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Pia kulikuwa na Obed-edomu, ambaye Mungu alimbariki kwa kumpa wana wanane: Shemaya mzaliwa wake wa kwanza, Yehozabadi wa pili, Yoa wa tatu, Sakari wa nne, Nethaneli wa tano,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wana wa Obedi-Edomu walikuwa wa kwanza Semaya, wa pili Yozabadi, wa tatu Yoa, wa nne Sakari, wa tano Netaneli;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye Obed-edomu alikuwa na wana; Shemaya mzaliwa wa kwanza, Yehozabadi wa pili, Yoa wa tatu, na Sakari wa nne, na Nethaneli wa tano;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Vilevile kulikuwa Obedi-Edomu, ambaye Mungu alimubariki kwa kumupa wana wanane: Semaya muzaliwa wake wa kwanza, Yehozabadi wa pili, Yoa wa tatu, Sakari wa ine, Netaneli wa tano,