1 Chronicles 26:5 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Amieli wa sita, Isakari wa saba na Peulethai wa nane.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Amieli wa sita, Isakari wa saba, na Peulethai wa nane. (Kwa kuwa Mungu alikuwa amembariki Obed-Edomu.)
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Amieli wa sita, Isakari wa saba, Peulethai wa nane; kwa jinsi Mungu alivyombariki.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Amieli wa sita, Isakari wa saba na Peulethai wa nane.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Amieli wa sita, Isakari wa saba, na Peulethai wa nane. (Kwa kuwa Mungu alikuwa amembariki Obed-Edomu.)
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Amieli wa sita, Isakari wa saba, na Peulethai wa nane. (Kwa kuwa Mungu alikuwa amembariki Obed-Edomu.)
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Amieli wa sita, Isakari wa saba, Peulethai wa nane; kwa jinsi Mungu alivyombariki.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Amieli wa sita, Isakari wa saba na Peulethai wa nane.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
wa sita Amieli, wa saba Isakari, wa nane Peultai, kwani Mungu alimbariki.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Amieli wa sita, Isakari wa saba, Peulethai wa nane; kwa jinsi Mungu alivyombariki.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Amieli wa sita, Isakari wa saba na Peuletayi wa nane.