1 Chronicles 27:18 — Compare Translations
10 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
wa Yuda, Elihu, mmoja wa ndugu za mfalme Daudi; wa Isakari, Omri mwana wa Mikaeli;
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
kwa Yuda: Elihu, nduguye Daudi; kwa Waisakari: Omri mwana wa Mikaeli;
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
wa Yuda, Elihu, mmojawapo wa nduguze Daudi; wa Isakari, Omri mwana wa Mikaeli;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
wa Yuda, Elihu, mmoja wa ndugu za mfalme Daudi; wa Isakari, Omri mwana wa Mikaeli;
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
kwa Yuda: Elihu, nduguye Daudi; kwa Waisakari: Omri mwana wa Mikaeli;
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
kwa Yuda: Elihu, nduguye Daudi; kwa Waisakari: Omri mwana wa Mikaeli;
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
wa Yuda, Elihu, mmojawapo wa nduguze Daudi; wa Isakari, Omri mwana wa Mikaeli;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
wa Yuda, Elihu, mmoja wa ndugu za mfalme Daudi; wa Isakari, Omri mwana wa Mikaeli;
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
kwa Yuda Elihu aliyekuwa mmoja wao ndugu zake Dawidi; kwa Isakari Omuri, mwana wa Mikaeli;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
wa Yuda, Elihu, mmojawapo wa nduguze Daudi; wa Isakari, Omri mwana wa Mikaeli;