1 Chronicles 27:25 — Compare Translations
10 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Aliyesimamia hazina za mfalme Daudi alikuwa Azmawethi mwana wa Adieli. Yonathani mwana wa Uzia alisimamia hazina zilizokuwa mashambani, mijini, vijijini na ngomeni.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Azmawethi mwana wa Adieli ndiye alikuwa msimamizi wa hazina za mfalme. Msimamizi wa hazina katika mashamba, miji, vijiji na kwenye ngome alikuwa Yonathani mwana wa Uzia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na juu ya hazina za mfalme alikuwa Azmawethi mwana wa Adieli; na juu ya hazina za mashambani, za mijini, na vijijini, na ngomeni, alikuwa Yonathani mwana wa Uzia;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Aliyesimamia hazina za mfalme Daudi alikuwa Azmawethi mwana wa Adieli. Yonathani mwana wa Uzia alisimamia hazina zilizokuwa mashambani, mijini, vijijini na ngomeni.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Azmavethi mwana wa Adieli ndiye aliyekuwa msimamizi wa hazina za kifalme. Msimamizi wa hazina katika mashamba, miji, vijiji na kwenye ngome alikuwa Yonathani mwana wa Uzia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Azmawethi mwana wa Adieli ndiye alikuwa msimamizi wa hazina za mfalme. Msimamizi wa hazina katika mashamba, miji, vijiji na kwenye ngome alikuwa Yonathani mwana wa Uzia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na juu ya hazina za mfalme alikuwa Azmawethi mwana wa Adieli; na juu ya hazina za mashambani, za mijini, na vijijini, na ngomeni, alikuwa Yonathani mwana wa Uzia;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Aliyesimamia hazina za mfalme Daudi alikuwa Azmawethi mwana wa Adieli. Yonathani mwana wa Uzia alisimamia hazina zilizokuwa mashambani, mijini, vijijini na ngomeni.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mtunza vilimbiko vya mfalme alikuwa Azimaweti, mwana wa Adieli; naye mtunza vilimbiko vilivyokuwa mashambani na mijini na mizabibuni na ngomeni alikuwa Yonatani, mwana wa Uzia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na juu ya hazina za mfalme alikuwa Azmawethi mwana wa Adieli; na juu ya hazina za mashambani, za mijini, na vijijini, na ngomeni, alikuwa Yonathani mwana wa Uzia;