1 Chronicles 27:34 — Compare Translations
10 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ahithofeli alipofariki, mahali pake palichukuliwa na Yehoyada mwana wa Benaya na Abiathari. Yoabu alikuwa kamanda wa jeshi la mfalme.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Baada ya Ahithofeli, Yehoyada mwana wa Benaya aliingia mahali pake kama mshauri wa mfalme, pamoja na Abiathari. Yoabu alikuwa jemadari wa majeshi ya mfalme.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
na, baada ya Ahithofeli, walikuwa Yehoyada mwana wa Benaya, na Abiathari; na jemadari wa jeshi la mfalme alikuwa Yoabu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ahithofeli alipofariki, mahali pake palichukuliwa na Yehoyada mwana wa Benaya na Abiathari. Yoabu alikuwa kamanda wa jeshi la mfalme.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Baada ya Ahithofeli, Yehoyada mwana wa Benaya aliingia mahali pake kama mshauri wa mfalme pamoja na Abiathari. Yoabu alikuwa ndiye jemadari wa majeshi ya mfalme.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Baada ya Ahithofeli, Yehoyada mwana wa Benaya aliingia mahali pake kama mshauri wa mfalme pamoja na Abiathari. Yoabu alikuwa ndiye jemadari wa majeshi ya mfalme.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
na, baada ya Ahithofeli, walikuwa Yehoyada mwana wa Benaya, na Abiathari; na jemadari wa jeshi la mfalme alikuwa Yoabu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ahithofeli alipofariki, mahali pake palichukuliwa na Yehoyada mwana wa Benaya na Abiathari. Yoabu alikuwa kamanda wa jeshi la mfalme.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Waliomfuata Ahitofeli walikuwa Yoyada, mwana wa Benaya, na Abiatari. Mkuu wa vikosi vya mfalme alikuwa Yoabu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
na, baada ya Ahithofeli, walikuwa Yehoyada mwana wa Benaya, na Abiathari; na jemadari wa jeshi la mfalme alikuwa Yoabu.