1 Chronicles 29:26 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi Daudi, mwana wa Yese, akawa mfalme juu ya Israeli yote.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Daudi mwana wa Yese alikuwa mfalme wa Israeli yote.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi Daudi, mwana wa Yese, akawa mfalme juu ya Israeli wote.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi Daudi, mwana wa Yese, akawa mfalme juu ya Israeli yote.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Daudi mwana wa Yese alikuwa mfalme wa Israeli yote.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Daudi mwana wa Yese alikuwa mfalme wa Israeli yote.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi Daudi, mwana wa Yese, akawa mfalme juu ya Israeli wote.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi Daudi, mwana wa Yese, akawa mfalme juu ya Israeli yote.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Dawidi, mwana wa Isai, alikuwa mfalme wa Waisiraeli wote.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi Daudi, mwana wa Yese, akawa mfalme juu ya Israeli wote.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi Daudi, mwana wa Yese, akakuwa mufalme juu ya inchi yote ya Israeli.