1 Chronicles 3:11 — Compare Translations
10 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
aliyemzaa Yehoramu, aliyemzaa Ahazia, aliyemzaa Yoashi,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
mwanawe huyo alikuwa Yehoramu, mwanawe huyo alikuwa Ahazia, mwanawe huyo alikuwa Yoashi,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
na mwanawe huyo ni Yehoramu; na mwanawe huyo ni Ahazia; na mwanawe huyo ni Yoashi;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
aliyemzaa Yehoramu, aliyemzaa Ahazia, aliyemzaa Yoashi,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
mwanawe huyo alikuwa Yehoramu, mwanawe huyo alikuwa Ahazia, mwanawe huyo alikuwa Yoashi,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
mwanawe huyo alikuwa Yehoramu, mwanawe huyo alikuwa Ahazia, mwanawe huyo alikuwa Yoashi,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
na mwanawe huyo ni Yehoramu; na mwanawe huyo ni Ahazia; na mwanawe huyo ni Yoashi;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
aliyemzaa Yehoramu, aliyemzaa Ahazia, aliyemzaa Yoashi,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
mwanawe ni Yoramu, mwanawe ni Ahazia, mwanawe ni Yoasi,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
na mwanawe huyo ni Yehoramu; na mwanawe huyo ni Ahazia; na mwanawe huyo ni Yoashi;