1 Chronicles 3:16 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yehoyakimu alikuwa na wana wawili: Yekonia na Sedekia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Walioingia mahali pa Yehoyakimu kama wafalme ni: Yekonia mwanawe, na Sedekia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na wana wa Yehoyakimu ni hawa; mwanawe Yekonia, na mwanawe Sedekia.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yehoyakimu alikuwa na wana wawili: Yekonia na Sedekia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Walioingia mahali pa Yehoyakimu kama wafalme ni: Yekonia mwanawe, na Sedekia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Walioingia mahali pa Yehoyakimu kama wafalme ni: Yekonia mwanawe, na Sedekia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na wana wa Yehoyakimu ni hawa; mwanawe Yekonia, na mwanawe Sedekia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yehoyakimu alikuwa na wana wawili: Yekonia na Sedekia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao wana wa Yoyakimu ni mwanawe Yekonia, mwanawe ni Sedekia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na wana wa Yehoyakimu ni hawa; mwanawe Yekonia, na mwanawe Sedekia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wana wa Yoyakimu walikuwa: Yekonia na Zedekia.