1 Chronicles 4:38 — Compare Translations
10 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Jamaa zao waliendelea kuongezeka kwa wingi sana. Hawa waliotajwa majina ni wakuu katika jamaa zao na koo zao ziliongezeka sana.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Watu hawa walioorodheshwa hapa juu kwa majina walikuwa viongozi wa koo zao. Jamaa zao ziliongezeka sana,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
hao waliotajwa majina yao ndio waliokuwa wakuu katika jamaa zao; na mbari za baba zao zikaongezeka sana.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Jamaa zao waliendelea kuongezeka kwa wingi sana. Hawa waliotajwa majina ni wakuu katika jamaa zao na koo zao ziliongezeka sana.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Watu hawa walioorodheshwa hapa juu kwa majina walikuwa viongozi wa koo zao. Jamaa zao ziliongezeka sana,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Watu hawa walioorodheshwa hapa juu kwa majina walikuwa viongozi wa koo zao. Jamaa zao ziliongezeka sana,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
hao waliotajwa majina yao ndio waliokuwa wakuu katika jamaa zao; na koo za baba zao zikaongezeka sana.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Jamaa zao waliendelea kuongezeka kwa wingi sana. Hawa waliotajwa majina ni wakuu katika jamaa zao na koo zao ziliongezeka sana.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hawa waliotajwa kwa majina walikuwa wakuu katika ukoo wao, milango ya baba zao ilipokwisha kusambaa kwa wingi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
hao waliotajwa majina yao ndio waliokuwa wakuu katika jamaa zao; na mbari za baba zao zikaongezeka sana.