1 Chronicles 4:6 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Naara alimzalia wana wanne: Ahuzamu, Heferi, Temeni na Haahashtari.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hawa walikuwa wazao wa Naara: Ahuzamu, Heferi, Temeni na Haahashtari.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye Naara akamzalia Ahuzamu, na Heferi, na Temeni, na Ahashtari. Hao ndio wana wa Naara.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Naara alimzalia wana wanne: Ahuzamu, Heferi, Temeni na Haahashtari.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hawa walikuwa wazao wa Naara: Ahuzamu, Heferi, Temeni na Haahashtari.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hawa walikuwa wazao wa Naara: Ahuzamu, Heferi, Temeni na Haahashtari.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye Naara akamzalia Ahuzamu, na Heferi, na Temeni, na Ahashtari. Hao ndio wana wa Naara.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Naara alimzalia wana wanne: Ahuzamu, Heferi, Temeni na Haahashtari.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nara akamzalia Ahuzamu na Heferi na Temuni na Ahastari. Hawa ndio wana wa Nara.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye Naara akamzalia Ahuzamu, na Heferi, na Temeni, na Ahashtari. Hao ndio wana wa Naara.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nara akamuzalia wana wane: Ahuzamu, Heferi, Temeni na Ahastari.