1 Chronicles 5:6 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
na Beera, ambaye mfalme Tiglath-pileseri wa Ashuru, alimchukua mateka ingawa alikuwa kiongozi wa Wareubeni, akampeleka uhamishoni.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
na Beera mwanawe, ambaye Tiglath-Pileseri mfalme wa Ashuru alimchukua kwenda uhamishoni. Beera alikuwa kiongozi wa Wareubeni.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
na mwanawe huyo ni Beera, ambaye Tiglath-Pileseri, mfalme wa Ashuru, alimchukua mateka; ndiye aliyekuwa mkuu wa Wareubeni.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
na Beera, ambaye mfalme Tiglath-pileseri wa Ashuru, alimchukua mateka ingawa alikuwa kiongozi wa Wareubeni, akampeleka uhamishoni.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
na Beera mwanawe, ambaye Tiglath-Pileseri mfalme wa Ashuru alimchukua kwenda uhamishoni. Beera alikuwa kiongozi wa Wareubeni.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
na Beera mwanawe, ambaye Tiglath-Pileseri mfalme wa Ashuru alimchukua kwenda uhamishoni. Beera alikuwa kiongozi wa Wareubeni.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
na mwanawe huyo ni Beera, ambaye Tiglath-Pileseri, mfalme wa Ashuru, alimchukua mateka; ndiye aliyekuwa mkuu wa Wareubeni.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
na Beera, ambaye mfalme Tiglath-pileseri wa Ashuru, alimchukua mateka ingawa alikuwa kiongozi wa Wareubeni, akampeleka uhamishoni.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
mwanawe huyo Bera, ambaye Tilgati-Pilneseri, mfalme wa Asuri, alimteka na kumhamisha, maana alikuwa mkuu wa Rubeni.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
na mwanawe huyo ni Beera, ambaye Tiglath-Pileseri, mfalme wa Ashuru, alimchukua mateka; ndiye aliyekuwa mkuu wa Wareubeni.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
na Bera, ambaye mufalme Tigilati-Pileseri wa Asuria, alimukamata mateka ingawa alikuwa kiongozi wa watu wa kabila la Rubeni, akamupeleka katika uhamisho.