1 Chronicles 6:18 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kohathi aliwazaa Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli;
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na wana wa Kohathi walikuwa Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kohathi aliwazaa Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli;
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na wana wa Kohathi walikuwa Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kohathi aliwazaa Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli;
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao wana wa Kehati: Amuramu na Isihari na Heburoni na Uzieli.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na wana wa Kohathi walikuwa Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hizi ndizo ukoo za wale ambao walifanya kazi hizo: Kutoka ukoo wa Kohati, kulikuwa Hemani, kiongozi wa kundi la kwanza la waimbaji. Hemani alikuwa mwana wa Yoeli, Yoeli wa Samweli, Samweli wa Elekana, Elekana wa Yerohamu, Yerohamu wa Elieli, Elieli wa Toa, Toa wa Zufi, Zufi wa Elekana, Elekana wa Mahati, Mahati wa Amasai, Amasai wa Elekana, Elekana wa Yoeli, Yoeli wa Azaria, Azaria wa Sefania, Sefania wa Tahati, Tahati wa Asiri, Asiri wa Ebiasafu, Ebiasafu wa Kora, Kora wa Izihari, Izihari wa Kohati, Kohati wa Lawi, Lawi wa Israeli.