1 Chronicles 6:20 — Compare Translations

10 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wafuatao ndio wazawa wa Gershomu kutoka kizazi hadi kizazi: Gershomu alimzaa Libni, Libni akamzaa Yahathi, Yahathi akamzaa Zima,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wazao wa Gershoni: Gershoni akamzaa Libni, Libni akamzaa Yahathi, Yahathi akamzaa Zima,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wa Gershoni; mwanawe huyo ni Libni, na mwanawe huyo ni Yahathi, na mwanawe huyo ni Zima;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wafuatao ndio wazawa wa Gershomu kutoka kizazi hadi kizazi: Gershomu alimzaa Libni, Libni akamzaa Yahathi, Yahathi akamzaa Zima,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wazao wa Gershoni: Gershoni akamzaa Libni, Libni akamzaa Yahathi, Yahathi akamzaa Zima,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wazao wa Gershoni: Gershoni akamzaa Libni, Libni akamzaa Yahathi, Yahathi akamzaa Zima,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wa Gershoni; mwanawe huyo ni Libni, na mwanawe huyo ni Yahathi, na mwanawe huyo ni Zima;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wafuatao ndio wazawa wa Gershomu kutoka kizazi hadi kizazi: Gershomu alimzaa Libni, Libni akamzaa Yahathi, Yahathi akamzaa Zima,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wagersomu: Mwanawe Libuni, mwanawe huyo Yahati, mwanawe huyo Zima,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wa Gershoni; mwanawe huyo ni Libni, na mwanawe huyo ni Yahathi, na mwanawe huyo ni Zima;