1 Chronicles 6:26 — Compare Translations

10 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Na hawa ndio wazawa wa Ahimothi: Ahimothi alimzaa Elkana, Elkana akamzaa Sofai, Sofai akamzaa Nahathi,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ahimothi akamzaa Elkana, Elkana akamzaa Sofai, Sofai akamzaa Nahathi,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa habari za Elkana; wana wa Elkana; mwanawe huyo ni Sufu, na mwanawe huyo ni Tohu;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Na hawa ndio wazawa wa Ahimothi: Ahimothi alimzaa Elkana, Elkana akamzaa Sofai, Sofai akamzaa Nahathi,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ahimothi akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Sofai, Sofai akamzaa Nahathi,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ahimothi akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Sofai, Sofai akamzaa Nahathi,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa habari za Elkana; wana wa Elkana; mwanawe huyo ni Sufu, na mwanawe huyo ni Tohu;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Na hawa ndio wazawa wa Ahimothi: Ahimothi alimzaa Elkana, Elkana akamzaa Sofai, Sofai akamzaa Nahathi,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
mwanawe huyo Elkana, wanawe yeye Elkana: mwanawe Sofai, naye mwanawe huyo Nahati,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa habari za Elkana; wana wa Elkana; mwanawe huyo ni Sufu, na mwanawe huyo ni Tohu;