1 Chronicles 6:29 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Na hawa ndio wazawa wa Merari kutoka kizazi hadi kizazi: Merari alimzaa Mali, Mali akamzaa Libni, Libni akamzaa Shimei, Shimei akamzaa Uza,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wafuatao ndio wazao wa Merari: Merari akamzaa Mahli, Mahli akamzaa Libni, Libni akamzaa Shimei, Shimei akamzaa Uza,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wana wa Merari; Mali, na mwanawe huyo ni Libni, na mwanawe huyo ni Shimei, na mwanawe huyo ni Uza;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Na hawa ndio wazawa wa Merari kutoka kizazi hadi kizazi: Merari alimzaa Mali, Mali akamzaa Libni, Libni akamzaa Shimei, Shimei akamzaa Uza,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wafuatao ndio wazao wa Merari: Merari akamzaa Mahli, Mahli akamzaa Libni, Libni akamzaa Shimei, Shimei akamzaa Uza,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wafuatao ndio wazao wa Merari: Merari akamzaa Mahli, Mahli akamzaa Libni, Libni akamzaa Shimei, Shimei akamzaa Uza,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wana wa Merari; Mali, na mwanawe huyo ni Libni, na mwanawe huyo ni Shimei, na mwanawe huyo ni Uza;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Na hawa ndio wazawa wa Merari kutoka kizazi hadi kizazi: Merari alimzaa Mali, Mali akamzaa Libni, Libni akamzaa Shimei, Shimei akamzaa Uza,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wana wa Merari: Mahali, mwanawe huyo Libuni, mwanawe huyo Simei, mwanawe huyo Uza,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wana wa Merari; Mali, na mwanawe huyo ni Libni, na mwanawe huyo ni Shimei, na mwanawe huyo ni Uza;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Etani wa ukoo wa Merari, alikuwa kiongozi wa kundi la tatu la waimbaji. Etani alikuwa mwana wa Kisi, Kisi wa Abudi, Abudi wa Maluku, Maluku wa Hasabia, Hasabia wa Amazia, Amazia wa Hilkia, Hilkia wa Amusi, Amusi wa Bani, Bani wa Semeri, Semeri wa Mali, Mali wa Musi, Musi wa Merari, Merari wa Lawi.