1 Chronicles 6:48 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ndugu zao wengine walipewa wajibu wa kuhudumia hema takatifu la nyumba ya Mungu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ndugu zao wengine Walawi walipewa huduma nyingine za kuhudumia hema takatifu, nyumba ya Mungu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na ndugu zao, Walawi, ndio waliowekwa ili kufanya huduma yote ya maskani ya nyumba ya Mungu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ndugu zao wengine walipewa wajibu wa kuhudumia hema takatifu la nyumba ya Mungu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ndugu zao wengine Walawi walipewa huduma nyingine za kuhudumia hema takatifu, nyumba ya Mungu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ndugu zao wengine Walawi walipewa huduma nyingine za kuhudumia hema takatifu, nyumba ya Mungu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na ndugu zao, Walawi, ndio waliowekwa ili kufanya huduma yote ya maskani ya nyumba ya Mungu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ndugu zao wengine walipewa wajibu wa kuhudumia hema takatifu la nyumba ya Mungu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndugu zao Walawi wengine walikuwa wamepewa kazi zote za utumishi wa Kao la Nyumba ya Mungu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na ndugu zao, Walawi, ndio waliowekwa ili kufanya huduma yote ya maskani ya nyumba ya Mungu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Vilevile, miji kumi na miwili katika kabila la Rubeni, na katika kabila la Gadi na katika kabila la Zebuluni ilipewa ukoo wa Merari kulingana na jamaa zao.