1 Chronicles 6:51 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Abishua akamzaa Buki, Buki akamzaa Uzi, Uzi akamzaa Serahia,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Abishua akamzaa Buki, Buki akamzaa Uzi, Uzi akamzaa Zerahia,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
na mwanawe huyo ni Buki, na mwanawe huyo ni Uzi, na mwanawe huyo ni Serahia;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Abishua akamzaa Buki, Buki akamzaa Uzi, Uzi akamzaa Serahia,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Abishua akamzaa Buki, Buki akamzaa Uzi, Uzi akamzaa Serahia,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Abishua akamzaa Buki, Buki akamzaa Uzi, Uzi akamzaa Zerahia,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
na mwanawe huyo ni Buki, na mwanawe huyo ni Uzi, na mwanawe huyo ni Serahia;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Abishua akamzaa Buki, Buki akamzaa Uzi, Uzi akamzaa Serahia,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
mwanawe huyo Buki, mwanawe huyo Uzi, mwanawe huyo Zeraya,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
na mwanawe huyo ni Buki, na mwanawe huyo ni Uzi, na mwanawe huyo ni Serahia;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Jamaa zingine za ukoo wa Kohati zilipewa miji pamoja na malisho yake katika kabila la Efuraimu: