1 Chronicles 6:52 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Serahia akamzaa Merayothi, Merayothi akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Zerahia akamzaa Merayothi, Merayothi akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
na mwanawe huyo ni Merayothi, na mwanawe huyo ni Amaria, na mwanawe huyo Ahitubu;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Serahia akamzaa Merayothi, Merayothi akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Serahia akamzaa Merayothi, Merayothi akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Zerahia akamzaa Merayothi, Merayothi akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
na mwanawe huyo ni Merayothi, na mwanawe huyo ni Amaria, na mwanawe huyo Ahitubu;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Serahia akamzaa Merayothi, Merayothi akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
mwanawe huyo Merayoti, mwanawe huyo Amaria, mwanawe huyo Ahitubu,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
na mwanawe huyo ni Merayothi, na mwanawe huyo ni Amaria, na mwanawe huyo Ahitubu;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Sekemu, muji wa makimbilio katika inchi ya milima ya Efuraimu pamoja na mashamba yake ya malisho, Gezeri pamoja na malisho yake,