1 Chronicles 6:61 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Miji kumi ya eneo la nusu ya kabila la Manase ilitolewa kwa sehemu iliyobaki ya ukoo wa Kohathi kwa kura kulingana na jamaa zao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wazao waliobaki wa Wakohathi walipewa miji kumi kutoka koo za nusu ya kabila la Manase.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nao waliobaki wa wana wa Kohathi walipewa kwa kura miji kumi, katika jamaa ya kabila hiyo, yaani, nusu-kabila, nusu ya Manase.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Miji kumi ya eneo la nusu ya kabila la Manase ilitolewa kwa sehemu iliyobaki ya ukoo wa Kohathi kwa kura kulingana na jamaa zao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wazao waliobaki wa Wakohathi walipewa miji kumi kutoka koo za nusu ya kabila la Manase.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wazao waliobaki wa Wakohathi walipewa miji kumi kutoka koo za nusu ya kabila la Manase.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nao waliobaki wa wana wa Kohathi walipewa kwa kura miji kumi, katika jamaa ya kabila hilo, yaani, nusu kabila, nusu ya Manase.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Miji kumi ya eneo la nusu ya kabila la Manase ilitolewa kwa sehemu iliyobaki ya ukoo wa Kohathi kwa kura kulingana na jamaa zao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao wana wa Kehati waliosalia walipewa miji 10 kwa kupigiwa kura katika ukoo wa hilo shina (Efuraimu), tena katika nusu ya shina la nusu ya Manase.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nao waliobaki wa wana wa Kohathi walipewa kwa kura miji kumi, katika jamaa ya kabila hiyo, yaani, nusu-kabila, nusu ya Manase.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Katika kabila la Nafutali: Kedesi katika Galilaya pamoja na mashamba yake ya malisho, Hamoni pamoja na mashamba yake ya malisho na Kiriataimu pamoja na mashamba yake ya malisho.