1 Chronicles 6:66 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Jamaa nyingine za ukoo wa Kohathi zilipewa miji pamoja na malisho yake katika kabila la Efraimu:
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Baadhi ya koo za Wakohathi walipewa kama nchi yao miji kutoka kabila la Efraimu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na jamaa nyingine za wana wa Kohathi walikuwa na miji ya mipakani mwao katika kabila ya Efraimu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Jamaa nyingine za ukoo wa Kohathi zilipewa miji pamoja na malisho yake katika kabila la Efraimu:
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Baadhi ya koo za Wakohathi walipewa kama nchi yao miji kutoka kabila la Efraimu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Baadhi ya koo za Wakohathi walipewa kama nchi yao miji kutoka kabila la Efraimu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na jamaa nyingine za wana wa Kohathi walikuwa na miji ya mipakani mwao katika kabila la Efraimu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Jamaa nyingine za ukoo wa Kohathi zilipewa miji pamoja na malisho yake katika kabila la Efraimu:
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao wengine waliokuwa wa ukoo wa wana wa Kehati walipata miji katika shina la Efuraimu, iwe yao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na jamaa nyingine za wana wa Kohathi walikuwa na miji ya mipakani mwao katika kabila ya Efraimu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hesiboni pamoja na mashamba yake ya malisho na Yazeri pamoja na mashamba yake ya malisho.