1 Chronicles 7:12 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Shupimu na Hupimu pia walikuwa wa kabila hili. Dani alikuwa na mwana mmoja, jina lake Hushimu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Washupimu na Wahupimu walikuwa wazao wa Iri. Wahushimu walikuwa wazao wa Aheri.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena Shupimu, na Hupimu, wana wa Iri; na Hushimu, wana wa Aheri.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Shupimu na Hupimu pia walikuwa wa kabila hili. Dani alikuwa na mwana mmoja, jina lake Hushimu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Washupimu na Wahupimu walikuwa wazao wa Iri. Wahushimu walikuwa wazao wa Aheri.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Washupimu na Wahupimu walikuwa wazao wa Iri. Wahushimu walikuwa wazao wa Aheri.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tena Shupimu, na Hupimu, wana wa Iri; na Hushimu, wana wa Aheri.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Shupimu na Hupimu pia walikuwa wa kabila hili. Dani alikuwa na mwana mmoja, jina lake Hushimu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye Supimu na Hupimu walikuwa wana wa Iri; tena Husimu na wana wa Aheri.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena Shupimu, na Hupimu, wana wa Iri; na Hushimu, wana wa Aheri.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Supimu na Hupimu walikuwa wana wa Iri. Husimu alikuwa mwana wa Aheri.