1 Chronicles 7:31 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Beria alikuwa na wana wawili: Heberi na Malkieli, aliyekuwa baba yake Birzaithi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wana wa Beria walikuwa: Heberi na Malkieli, aliyekuwa baba yake Birzaithi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na wana wa Beria; Heberi, na Malkieli, aliyekuwa babaye Birzaithi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Beria alikuwa na wana wawili: Heberi na Malkieli, aliyekuwa baba yake Birzaithi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wana wa Beria walikuwa: Heberi na Malkieli, aliyekuwa baba yake Birzaithi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wana wa Beria walikuwa: Heberi na Malkieli, aliyekuwa baba yake Birzaithi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na wana wa Beria; Heberi, na Malkieli, aliyekuwa babaye Birzaithi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Beria alikuwa na wana wawili: Heberi na Malkieli, aliyekuwa baba yake Birzaithi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao wana wa Beria: Heberi na Malkieli, huyu ndiye baba yao wa Birzaiti.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na wana wa Beria; Heberi, na Malkieli, aliyekuwa babaye Birzaithi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wana wa Beria walikuwa: Heberi na Malkieli, aliyekuwa baba ya watu wa muji wa Birza-Iti.