1 Chronicles 8:29 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yeieli, alikuwa mwanzilishi wa mji wa Gibeoni. Mkewe alikuwa Maaka.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi huko Gibea alikaa babaye Gibea, jina lake Yeieli, ambaye jina la mkewe aliitwa Maaka;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yeieli, alikuwa mwanzilishi wa mji wa Gibeoni. Mkewe alikuwa Maaka.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi huko Gibea alikaa babaye Gibea, jina lake Yeieli, ambaye jina la mkewe aliitwa Maaka;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yeieli, alikuwa mwanzilishi wa mji wa Gibeoni. Mkewe alikuwa Maaka.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Huko Gibeoni alikaa babake Gibeoni, nalo jina la mkewe ni Maka.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi huko Gibea alikaa babaye Gibea, jina lake Yeieli, ambaye jina la mkewe aliitwa Maaka;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yeieli alikuwa mwanzilishi wa muji wa Gibeoni. Muke wake aliitwa Maka.