1 Corinthians 1:19 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maana Maandiko Matakatifu yasema: “Nitaiharibu hekima yao wenye hekima, na elimu ya wataalamu nitaitupilia mbali.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana imeandikwa: “Nitaiharibu hekima ya wenye hekima, na kubatilisha akili ya wenye akili.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa kuwa imeandikwa, Nitaiharibu hekima yao wenye hekima, Na akili zao wenye akili nitazikataa.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kama Maandiko yanavyosema, “Nitaiharibu hekima ya wenye hekima. Nitaukanganya uelewa wa wenye akili.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Maana Maandiko Matakatifu yasema: “Nitaiharibu hekima yao wenye hekima, na elimu ya wataalamu nitaitupilia mbali.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maana Maandiko Matakatifu yasema: “Nitaiharibu hekima yao wenye hekima, na elimu ya wataalamu nitaitupilia mbali.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana imeandikwa: “Nitaiharibu hekima ya wenye hekima, na kuzibatilisha akili za wenye akili.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana imeandikwa: “Nitaiharibu hekima ya wenye hekima, na kubatilisha akili ya wenye akili.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa kuwa imeandikwa, Nitaiharibu hekima yao wenye hekima, Na akili zao wenye akili nitazikataa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maana Maandiko Matakatifu yasema: “Nitaiharibu hekima yao wenye hekima, na elimu ya wataalamu nitaitupilia mbali.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani imendikwa: Nitauangamiza werevu wao walio werevu wa kweli nao utambuzi wao watambuzi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa kuwa imeandikwa, Nitaiharibu hekima yao wenye hekima, Na akili zao wenye akili nitazikataa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa maana Maandiko Matakatifu yanasema: “Nitaharibu hekima ya wenye hekima, Nitapoteza akili ya wenye akili.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Maana imeandikwa Nitaharibu hekima yao wenye hekima, Na akili zao wenye akili nitazikataa.