1 Corinthians 10:26 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
maana Maandiko yasema: “Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya Bwana.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana, “Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya Mwenyezi Mungu.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
maana, Dunia ni mali ya Bwana na vyote viijazavyo.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mnaweza kula chakula hicho, “Kwa sababu dunia na kila kitu kilichomo ndani yake ni vya Bwana.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
maana Maandiko yasema: “Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya Bwana.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
maana Maandiko yasema: “Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya Bwana.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana, “Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya Bwana.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana, “Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya Mwenyezi Mungu.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
maana, Dunia ni mali ya Bwana na vyote viijazavyo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
maana Maandiko yasema: “Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya Bwana.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani nchi hii ni yake Bwana navyo vyote vilivyomo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
maana, Dunia ni mali ya Bwana na vyote viijazavyo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa maana Maandiko Matakatifu yanasema: “Dunia na vyote vinavyokuwa ndani yake ni vya Bwana.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
maana dunia ni mali ya Bwana na vyote viijazavyo.