1 Corinthians 10:5 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hata hivyo, wengi wao hawakumpendeza Mungu, na maiti zao zilisambazwa jangwani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini Mungu hakupendezwa na wengi wao, kwa hiyo miili yao ilitapakaa jangwani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lakini wengi sana katika wao, Mungu hakupendezwa nao; maana waliangamizwa jangwani.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini Mungu hakupendezwa na wengi wao, na hivyo waliangamizwa jangwani.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Hata hivyo, wengi wao hawakumpendeza Mungu, na maiti zao zilisambazwa jangwani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hata hivyo, wengi wao hawakumpendeza Mungu, na maiti zao zilisambazwa jangwani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini Mungu hakupendezwa na wengi wao, kwa hiyo miili yao ilitapakaa jangwani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini Mungu hakupendezwa na wengi wao, kwa hiyo miili yao ilitapakaa jangwani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lakini wengi sana katika wao, Mungu hakupendezwa nao; maana waliangamizwa jangwani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hata hivyo, wengi wao hawakumpendeza Mungu, na maiti zao zilisambazwa jangwani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini wale wengi Mungu hakupendezwa nao, kwa hiyo walilazwa jangwani.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini wengi sana katika wao, Mungu hakupendezwa nao; maana waliangamizwa jangwani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini, wengi sana kati yao hawakumupendeza Mungu, kwa hiyo wakakufia katika jangwa.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Lakini walio wengi, Mungu hakupendezwa nao; maana waliangamizwa jangwani.