1 Corinthians 11:28 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, kila mtu ajichunguze mwenyewe kwanza, ndipo ale mkate huo na anywe kikombe hicho;
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Inampasa mtu ajichunguze mwenyewe, kabla ya kula mkate na kukinywea kikombe.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lakini mtu ajihoji mwenyewe, na hivyo aule mkate, na kukinywea kikombe.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Unapaswa kujichunguza mwenendo wako kabla ya kula mkate na kunywa kikombe.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, kila mtu ajichunguze mwenyewe kwanza, ndipo ale mkate huo na anywe kikombe hicho;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, kila mtu ajichunguze mwenyewe kwanza, ndipo ale mkate huo na anywe kikombe hicho;
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Inampasa mtu ajichunguze mwenyewe, kabla ya kula mkate na kukinywea kikombe.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Inampasa mtu ajichunguze mwenyewe, kabla ya kula mkate na kukinywea kikombe.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lakini mtu ajihoji mwenyewe, na hivyo aule mkate, na kukinywea kikombe.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, kila mtu ajichunguze mwenyewe kwanza, ndipo ale mkate huo na anywe kikombe hicho;
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Sharti mtu ajichunguze mwenyewe, kisha aule mkate huo, akinywee nacho kinyweo hicho!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini mtu ajihoji mwenyewe, na hivyo aule mkate, na kukinywea kikombe.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi kila mutu ajichunguze mwenyewe na kisha akule mukate huu na kunywa kikombe hiki.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Lakini mtu ajihoji nafsi yake, ndivyo aule mkate, na kukinywea kikombe.