1 Corinthians 11:8 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mwanamume hakutoka kwa mwanamke, ila mwanamke alitoka kwa mwanamume.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana mwanaume hakutoka kwa mwanamke, bali mwanamke alitoka kwa mwanaume.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maana mwanamume hakutoka katika mwanamke, bali mwanamke katika mwanamume.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mwanaume hakutoka kwa mwanamke bali mwanamke ndiye aliyetoka kwa mwanaume.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mwanamume hakutoka kwa mwanamke, ila mwanamke alitoka kwa mwanamume.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mwanamume hakutoka kwa mwanamke, ila mwanamke alitoka kwa mwanamume.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana mwanaume hakutoka katika mwanamke, bali mwanamke alitoka kwa mwanaume.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana mwanaume hakutoka kwa mwanamke, bali mwanamke alitoka kwa mwanaume.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maana mwanamume hakutoka katika mwanamke, bali mwanamke katika mwanamume.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mwanamume hakutoka kwa mwanamke, ila mwanamke alitoka kwa mwanamume.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Maana walipoumbwa, mume hakutoka katika mke, ila mke alitoka katika mume.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maana mwanamume hakutoka katika mwanamke, bali mwanamke katika mwanamume.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa maana mwanaume hakuumbwa kutoka katika mwanamuke, lakini mwanamuke aliumbwa kutoka katika mwanaume.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Maana mwanamume hakutoka katika mwanamke, bali mwanamke katika mwanamume.