1 Corinthians 12:20 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ukweli ni kwamba, sehemu za mwili ni nyingi, lakini mwili ni mmoja.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kama ulivyo, una viungo vingi, lakini mwili ni mmoja.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lakini sasa viungo ni vingi, ila mwili ni mmoja.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hivyo kuna viungo vingi, lakini kuna mwili mmoja tu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Ukweli ni kwamba, sehemu za mwili ni nyingi, lakini mwili ni mmoja.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ukweli ni kwamba, sehemu za mwili ni nyingi, lakini mwili ni mmoja.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kama ulivyo, una viungo vingi, lakini mwili ni mmoja.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kama ulivyo, una viungo vingi, lakini mwili ni mmoja.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lakini sasa viungo ni vingi, ila mwili ni mmoja.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ukweli ni kwamba, sehemu za mwili ni nyingi, lakini mwili ni mmoja.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Sasa viungo ni vingi, lakini mwili ni mmoja.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini sasa viungo ni vingi, ila mwili ni mmoja.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa hivi sasa kunakuwa viungo vingi lakini mwili ni mumoja.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Lakini sasa viungo ni vingi, na mwili ni mmoja.