1 Corinthians 13:5 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mwenye upendo hakosi adabu, hatafuti faida yake binafsi, wala hana wepesi wa hasira; haweki kumbukumbu ya mabaya,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Haukosi kuwa na adabu, hautafuti mambo yake, haukasiriki upesi, hauweki kumbukumbu ya mabaya.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
haukosi kuwa na adabu; hautafuti mambo yake; hauoni uchungu; hauhesabu mabaya;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Upendo hauna kiburi, hauna ubinafsi na haukasirishwi kirahisi. Upendo hautunzi orodha ya mambo waliyoukosea.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mwenye upendo hakosi adabu, hatafuti faida yake binafsi, wala hana wepesi wa hasira; haweki kumbukumbu ya mabaya,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mwenye upendo hakosi adabu, hatafuti faida yake binafsi, wala hana wepesi wa hasira; haweki kumbukumbu ya mabaya,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Haukosi kuwa na adabu. Upendo hautafuti mambo yake, haukasiriki upesi, hauweki kumbukumbu ya mabaya.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Haukosi kuwa na adabu, hautafuti mambo yake, haukasiriki upesi, hauweki kumbukumbu ya mabaya.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
haukosi kuwa na adabu; hautafuti mambo yake; hauoni uchungu; hauhesabu mabaya;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mwenye upendo hakosi adabu, hatafuti faida yake binafsi, wala hana wepesi wa hasira; haweki kumbukumbu ya mabaya,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
haukwazi, wala hauyatafuti yaliyo yake, wala hauchukiziki, wala hauyahesabu maovu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
haukosi kuwa na adabu; hautafuti mambo yake; hauoni uchungu; hauhesabu mabaya;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Upendo haukosi kuwa na adabu, hautafuti faida yake mwenyewe, haukasiriki upesi, nao hauhesabii mutu ubaya.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
haukosi kuwa na adabu, hautafuti mambo yake, hauoni uchungu, hauhesabu mabaya;