1 Corinthians 13:6 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
hafurahii uovu, bali hufurahia ukweli.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Upendo haufurahii mabaya bali hufurahi pamoja na kweli.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
haufurahii udhalimu, bali hufurahi pamoja na kweli;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Upendo haufurahi wengine wanapokosa, lakini daima hufurahia ukweli.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
hafurahii uovu, bali hufurahia ukweli.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
hafurahii uovu, bali hufurahia ukweli.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Upendo haufurahii mabaya bali hufurahi pamoja na kweli.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Upendo haufurahii mabaya bali hufurahi pamoja na kweli.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
haufurahii udhalimu, bali hufurahi pamoja na kweli;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
hafurahii uovu, bali hufurahia ukweli.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hauyafurahii mapotovu, ila huyafurahia yaliyo ya kweli.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
haufurahii udhalimu, bali hufurahi pamoja na kweli;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Upendo haufurahii ubaya, lakini unafurahia ukweli.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
haufurahii udhalimu, bali hufurahi pamoja na kweli;