1 Corinthians 13:9 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maana ujuzi wetu si kamili, na kipaji chetu cha kutangaza neno la Mungu si kamili.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana tunafahamu kwa sehemu na tunatoa unabii kwa sehemu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana tunafahamu kwa sehemu; na tunafanya unabii kwa sehemu;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hizi zitakoma kwa sababu maarifa haya na nabii hizi tulizonazo sasa hazijakamilika.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Maana ujuzi wetu si kamili, na kipaji chetu cha kutangaza neno la Mungu si kamili.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maana ujuzi wetu si kamili, na kipaji chetu cha kutangaza neno la Mungu si kamili.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana tunafahamu kwa sehemu na tunatoa unabii kwa sehemu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana tunafahamu kwa sehemu na tunatoa unabii kwa sehemu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa maana tunafahamu kwa sehemu; na tunafanya unabii kwa sehemu;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maana ujuzi wetu si kamili, na kipaji chetu cha kutangaza neno la Mungu si kamili.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani tunayoyatambua, ni fungu tu; nayo tunayoyafumbua, ni fungu tu;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana tunafahamu kwa sehemu; na tunafanya unabii kwa sehemu;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa maana tunafahamu tu mambo machache na kutabiri tu mambo machache.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kwa maana tunafahamu kwa sehemu; na tunafanya unabii kwa sehemu;