1 Corinthians 14:13 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa hiyo, mwenye kunena lugha ngeni na aombe apate uwezo wa kuzifafanua.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa sababu hii, yeye anenaye kwa lugha na aombe kwamba apate kutafsiri kile anachonena.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa sababu hiyo yeye anenaye kwa lugha na aombe apewe kufasiri.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hivyo wenye karama ya kusema kwa lugha waombe ili waweze kufasiri yale wanayosema.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kwa hiyo, mwenye kunena lugha ngeni na aombe apate uwezo wa kuzifafanua.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa hiyo, mwenye kunena lugha ngeni na aombe apate uwezo wa kuzifafanua.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa sababu hii, yeye anenaye kwa lugha na aombe kwamba apate kutafsiri kile anachonena.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa sababu hii, yeye anenaye kwa lugha na aombe kwamba apate kutafsiri kile anachonena.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa sababu hiyo yeye anenaye kwa lugha na aombe apewe kufasiri.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa hiyo, mwenye kunena lugha ngeni na aombe apate uwezo wa kuzifafanua.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa hiyo mwenye misemo migeni aombe, apate hata kuifumbua!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa sababu hiyo yeye anenaye kwa lugha na aombe apewe kufasiri.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa hiyo yule anayesema kwa luga ya ajabu, aombe Mungu amupatie uwezo wa kuitafsiri.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kwa hiyo yeye anenae kwa lugha na aombe apewe kufasiri.