1 Corinthians 14:32 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu ni lazima kitawaliwe na huyo mwenye hicho kipaji.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Roho za manabii huwatii manabii.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na roho za manabii huwatii manabii.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Roho za manabii ziko chini ya udhibiti wa manabii wenyewe.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu ni lazima kitawaliwe na huyo mwenye hicho kipaji.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu ni lazima kitawaliwe na huyo mwenye hicho kipaji.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Roho za manabii huwatii manabii.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Roho za manabii huwatii manabii.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na roho za manabii huwatii manabii.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu ni lazima kitawaliwe na huyo mwenye hicho kipaji.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nazo roho za wafumbuaji huwatii wafumbuaji.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na roho za manabii huwatii manabii.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Zawadi ya unabii inapaswa kuwa chini ya utawala wa yule aliyeipewa,
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na roho za manabii huwatii manabii.