1 Corinthians 14:38 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini mtu asiyetambua hayo, basi, mtu asimjali mtu huyo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kama mtu akipuuza jambo hili yeye mwenyewe atapuuzwa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lakini mtu akiwa mjinga, na awe mjinga.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Ikiwa yeyote miongoni mwenu hatalikubali hili, basi hatakubaliwa.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Lakini mtu asiyetambua hayo, basi, mtu asimjali mtu huyo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini mtu asiyetambua hayo, basi, mtu asimjali mtu huyo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kama mtu akipuuza jambo hili yeye mwenyewe atapuuzwa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kama mtu akipuuza jambo hili yeye mwenyewe atapuuzwa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lakini mtu akiwa mjinga, na awe mjinga.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini mtu asiyetambua hayo, basi, mtu asimjali mtu huyo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini mtu asipoyajua, basi, na akae pasipo kuyajua!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini mtu akiwa mjinga, na awe mjinga.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini kama yeye hajui vile, basi mutu asishugulike naye.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Lakini mtu akiwa mjinga, na awe mjinga.