1 Corinthians 15:16 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maana, ikiwa ni kweli kwamba wafu hawafufuki, basi naye Kristo hakufufuka.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa kuwa kama wafu hawafufuliwi, basi hata Al-Masihi hajafufuka.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maana kama wafu hawafufuliwi, Kristo naye hakufufuka.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Ikiwa wale waliokufa hawatafufuliwa, basi Kristo hakufufuliwa pia.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Maana, ikiwa ni kweli kwamba wafu hawafufuki, basi naye Kristo hakufufuka.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maana, ikiwa ni kweli kwamba wafu hawafufuki, basi naye Kristo hakufufuka.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa kuwa kama wafu hawafufuliwi, basi hata Kristo hajafufuka.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa kuwa kama wafu hawafufuliwi, basi hata Al-Masihi hajafufuka.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maana kama wafu hawafufuliwi, Kristo naye hakufufuka.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maana, ikiwa ni kweli kwamba wafu hawafufuki, basi naye Kristo hakufufuka.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani kama wafu hawafufuki, hata Kristo hakufufuka.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maana kama wafu hawafufuliwi, Kristo naye hakufufuka.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa maana kama wafu hawafufuki, basi Kristo naye hakufufuka.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Maana kama wafu hawafufuliwi, Kristo nae hakufufuliwa.