1 Corinthians 15:37 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Unachopanda ni mbegu tu, labda ya ngano au nafaka nyingine, na si mmea mzima ambao hutokea baadaye.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mpandapo, hampandi mwili ule utakao kuwa, bali mwapanda mbegu tu, pengine ya ngano au ya kitu kingine.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
nayo uipandayo, huupandi mwili ule utakaokuwa, ila chembe tupu, ikiwa ni ya ngano au nyingineyo;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Na unapopanda kitu fulani, unachopanda hakina “mwili” sawa na ule kitakachokuwa nao baadaye. Unapanda mbegu, pengine ngano au kitu kingine.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Unachopanda ni mbegu tu, labda ya ngano au nafaka nyingine, na si mmea mzima ambao hutokea baadaye.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Unachopanda ni mbegu tu, labda ya ngano au nafaka nyingine, na si mmea mzima ambao hutokea baadaye.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mpandapo, hampandi mwili ule unaotegemewa kuwako, bali mwapanda mbegu tupu, pengine ya ngano au ya kitu kingine.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mpandapo, hampandi mwili ule utakao kuwa, bali mwapanda mbegu tu, pengine ya ngano au ya kitu kingine.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
nayo uipandayo, huupandi mwili ule utakaokuwa, ila chembe tupu, ikiwa ni ya ngano au nyingineyo;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Unachopanda ni mbegu tu, labda ya ngano au nafaka nyingine, na si mmea mzima ambao hutokea baadaye.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tena ukipanda hupandi mwili utakaokuwapo, ila unapanda kipunje kitupu, ikiwa cha ngano au cha mbegu nyinginyingine.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
nayo uipandayo, huupandi mwili ule utakaokuwa, ila chembe tupu, ikiwa ni ya ngano au nyingineyo;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kile unachopanda si mumea muzima utakaopaswa kutokea nyuma, lakini ni punje tu, labda ya ngano au mbegu ingine fulani.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
nayo uipandayo, huupandi mwili ule utakaokuwa, illa punje tupu, ikiwa ya nganu au nyingineyo;